Wasichana wengi wanaingia ujana bila uthubutu wa stadi za kufanya maamuzi kuhusu mahitaji ya afya zao katika mahusiano ya kimapenzi.
Jambo hili linaweka vijana wa kike katika hatari ya;
-kuozwa wakiwa wadogo.
-kupata mimba zisizotarajiwa.
-kuathiri afya ya uzazi.
-kuambukizwa VVU.
-kuharibiwa mustakabali wa maisha yao.
WASICHANA KUWENI MAKINI KATIKA KUFANYA MAAMUZI SAHIHI!.
No comments:
Post a Comment