Habari njema kwa vichwa vya wapenda Hip Hop
duniani kote, Nas amerudi kwenye root yake na album yake ya 10 inayoitwa "Life
Is Good" ambayo itatoka tarehe 17 Julai 2012, Katika sehemu ya pili ya mahojiano
na Rap-Up.com Nas alifunguka nakusema anafanya muziki ambao unaishi siku zote
sio bubble gum na akaongelea pia kuwashirikisha watu ambao bado hawajulikani na
Salaam Remi ndo ameshughulikia sehemu kubwa ya production. Hii album check
imekutana miaka ya 1990 na mwaka 2015.

No comments:
Post a Comment