Kutoka area za 254 nairobi tunakutana na vijana ambao kwa ukweli
wanafanya vizuri katika industries ya muziki hapa Africa hata nchini
kwao kenya hawa si wengine nawazungumzia Camp mulla.Kundi hili
linatarajia kuachia album yao mpya kitaani ambayo katika cover
wameipa jina la FUNKY TOWN na wanazindua siku ya jumamosi at the Nyayo
National Stadium safaricom
SOURCE:Dj Fetty

No comments:
Post a Comment