Katika picha hizi tatu mmoja ni raia wa Tanzania tena yupo katika nafasi
ya ulinzi wa raia, ukiacha kufanana kwao jamaa mwenyewe anajiita
rozaaaaay na anachana ngoma zake mwanzo mwisho...anamkubali sana rozay
wa marekani kiazi kwamba wherever he does ni Rozay mtupu...unakumbuka
Ricky Rozay alikuwa ni afisa magereza kabla ya kujiingiza katika game?
sasa jamaa huku nae yupo katika kazi ambayo haipishani sana na aliokuwa
akifanya Rozay mwenyewe.
YUPI NI ROZAY MWENYEWE YUPI SIO KATIKA PICHA HIZO?
SOURCE:DJ FETTY



No comments:
Post a Comment