Mke wa mkali wa kutengeneza beats za hatari mfano ngoma ya “Power” by Kanye West feat. Jay Z na ”Empire State of Mind” ya Jay z feat Alicia Keys mwanadadiva mshindi wa tuzo ya Grammy Alicia
Keys ametangaza rasmi jina la album yake ya 5 inayoitwa “Girl on Fire”
mwanadada ameamua kuwasha moto ndani yake na album ya “Girl on Fire”.

No comments:
Post a Comment