Thursday, September 20, 2012

CHANNEL O WALIVYOFANYA MAMBO KENYA

                                                                          Mashabiki

                                                            Jokate akiwa na Banky W      




Wyre kutoka kenya naye ndani ya show kali iyofanyika nchini kwao kenya iliyoletwa na channel O.
    Dj mfalme akionyesha skills zake kwenye moja na mbili kwenye part ya channel O iliyofanyika nchini kenya
    Prezzo akiwa na Goldie katika show ambayo iliyoandaliwa na Crew nzima ya Channel O ambayo ilifanya vitu vyake nchini kenya wiki iliyopita.
   Camp mulla wakifanya vyao katika show iliyoandaliwa na Crew nzima ya Channel O nchini kenya.
  Banky kutoka upande wa kushoto akifuatiwa na upande mwingine Wizkid (wapili kulia) na VJs wa Channel O.
               

No comments:

Post a Comment