Week iliyopita Kanye Omari West alias Kanye West alikumbwa na mkasa wa baada ya mtu asiyefahamika kuweza kumuibiaa “mkanda wa ngono” kwenye Computer yake na kujaribu kuiuza.
Latest infoz ni kuwa tayari kumeanza kuzagaa mkanda mwingine wa ngono wa Kanye West.
Huo mkanda wa pili unataka kufanana na ule wa kwanza japo wa kwanza
ulikuwa una dakika 20 na huu mpya una dakika kama 40 hiviii. Inasemekana
Kanye West alijirekodi wakati anafanya mapenzi na wapenzi wake wa
zamani miaka kadhaa iliyopita.
Chanzo kimoja kinasema, West
mpaka sasa hana uhakika muuzaji huyo wa mkanda wake wa ngono aliupata
vipi mkanda huo, ila ana mipango ya kumchukulia hatua kali za kisheria
mtu huyo na mtu yoyote atakayeu-publish.
Mwanasheria wa Kanye, Lisa M. Buckley, ametoa statement kwa kwa mtu antakayehusika na usambazaji wa tape hiyo kwa kusema: “were
illegally obtained and believed to have been stolen from Mr. West’s
computer. Posting, advertising, marketing, displaying and otherwise
disseminating the stolen screen shot and or other materials or tape are
actionable violations of Mr. West’s rights of privacy and publicity.”

No comments:
Post a Comment