Nassib Abdul ‘Diamond Platinum’ leo alikuwa Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Nyerere kukagua helkopta atakayoshuka nayo Jumapili hii ndani ya Ukumbi wa Dar Live, Mbagala Zakhem.Huu ni mfano wa kuigwa kwa wasanii wa Bongo.Ubunifu unatakiwa ili kufanya shoo zitakazowavutia mashabiki wenu.Big up Diamond.......





No comments:
Post a Comment