Mkali wa ngoma ya “My President ” Young Jeejy amepewa shout out na prezidaa wa Marekani Barrack Obama wakati akitoa speech Ikulu huko Washington D.C katika
chakula cha usiku na waandishi.
“Kipindi cha kwanza niliimba Al Green, Kipindi
cha pili, ntaimba Young Jeezy” alitania POTUS kabla ya kuridi kwa first lady
Michelle Obama “ Namuimbiaga hiyo saa zingine” alisema Obama.
Jeezy alitweet na kuandika“shout out
to @BarackObama” . Young Jeezy alirekodi ngoma ya "My President" kipindi cha
campaign za Obama kwa ajili ya urais mwaka 2008.

No comments:
Post a Comment